Swali 69: Ilikuwa mingapi misafara ya kijeshi na misheni?
Jibu: Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa sallam) alituma misheni na misafara ya kijeshi thelathini na nane. Nadharia nyingine ni vipande thelathini na tisa. Zote zimekwishatajwa na tarehe – zote isipokuwa tu msafara wa kijeshi wa Usaamah bin Zayd (Radhiya Allaahu ´anhumaa) kwenda Balqaa’ ambapo ilikuwa mwaka wa 11.
- Muhusika: ´Allaamah Haafidhw bin Ahmad al-Hakamiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Amaaliy fiys-Siyrah an-Nabawiyyah, uk. 142
- Imechapishwa: 04/11/2023
Swali 69: Ilikuwa mingapi misafara ya kijeshi na misheni?
Jibu: Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa sallam) alituma misheni na misafara ya kijeshi thelathini na nane. Nadharia nyingine ni vipande thelathini na tisa. Zote zimekwishatajwa na tarehe – zote isipokuwa tu msafara wa kijeshi wa Usaamah bin Zayd (Radhiya Allaahu ´anhumaa) kwenda Balqaa’ ambapo ilikuwa mwaka wa 11.
Muhusika: ´Allaamah Haafidhw bin Ahmad al-Hakamiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Amaaliy fiys-Siyrah an-Nabawiyyah, uk. 142
Imechapishwa: 04/11/2023
https://firqatunnajia.com/69-ilikuwa-mingapi-misafara-ya-kijeshi-na-misheni/