Swali 69: Ilikuwa mingapi misafara ya kijeshi na misheni?
Jibu: Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa sallam) alituma misheni na misafara ya kijeshi thelathini na nane. Nadharia nyingine ni vipande thelathini na tisa. Zote zimekwishatajwa na tarehe – zote isipokuwa tu msafara wa kijeshi wa Usaamah bin Zayd (Radhiya Allaahu ´anhumaa) kwenda Balqaa’ ambapo ilikuwa mwaka wa 11.
- Mhusika: ´Allaamah Haafidhw bin Ahmad al-Hakamiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Amaaliy fiys-Siyrah an-Nabawiyyah, uk. 142
- Imechapishwa: 04/11/2023
Swali 69: Ilikuwa mingapi misafara ya kijeshi na misheni?
Jibu: Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa sallam) alituma misheni na misafara ya kijeshi thelathini na nane. Nadharia nyingine ni vipande thelathini na tisa. Zote zimekwishatajwa na tarehe – zote isipokuwa tu msafara wa kijeshi wa Usaamah bin Zayd (Radhiya Allaahu ´anhumaa) kwenda Balqaa’ ambapo ilikuwa mwaka wa 11.
Mhusika: ´Allaamah Haafidhw bin Ahmad al-Hakamiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Amaaliy fiys-Siyrah an-Nabawiyyah, uk. 142
Imechapishwa: 04/11/2023
https://firqatunnajia.com/69-ilikuwa-mingapi-misafara-ya-kijeshi-na-misheni/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)