Je, adhabu au neema za kaburi ni juu ya roho au ni juu ya mwili? Shaykh-ul-Islaam Ibn Taymiyyah amesema:
“Madhehebu ya Salaf wa Ummah na maimamu wake ni kwamba adhabu inaipata ile roho ya maiti na kiwiliwili chake na kwamba roho baada ya kutengana na kiwiliwili inabaki hali ya kuwa ni yenye kustareheshwa au kuadhibiwa na kwamba wakati fulani inawasiliana na kiwiliwili na hivyo inafikiwa na neema na starehe au adhabu.”[1]
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (04/282).
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ta´aliyq mukhtaswar ´alaa Lum´at-il-I´tiqaad, uk. 114
- Imechapishwa: 28/11/2022
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)