63 – Jaabir amesimulia kuwa amemsikia Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akisema wakati ambapo jeneza la Sa´d bin Mu´aadh likiwa mbele yao kwa ajili ya kuliswalia:
”´Arshi ya Mwingi wa rehema imetikisika kwa ajili yake.”
Tamko ni la Muslim[1]. Imekuja kupitia njia nyingine kwamba Jaabir amesema:
”Jibriyl alikuja kwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akasema: ”Ni nani mja huyu mwema aliyekufa? Milango ya mbingu imefunguliwa kwa ajili yake na ´Arshi imetikisika kwa ajili yake.” Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akatoka nje na akaona kuwa ni Sa´d. Akaketi karibu na kaburi lake… ”
Ameipokea an-Nasaa´iy.
[1] al-Bukhaariy pia ameipokea. Nimeitaja katika ”Dhwilaal-ul-Jannah” (562). Ule upokezi mwingine umepokelewa pia na Ahmad (03/327). Cheni yake ya wapokezi ni nzuri. Abu Ja´far bin Abiy Shaybah ameipokea katika ”al-´Arsh” (01/133 – muswada).
- Muhusika: Imaam Shams-ud-Diyn Muhammad bin Ahmad adh-Dhahabiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Mukhtasar-ul-´Uluww, uk. 108-109
- Imechapishwa: 26/06/2024
- Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
63 – Jaabir amesimulia kuwa amemsikia Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akisema wakati ambapo jeneza la Sa´d bin Mu´aadh likiwa mbele yao kwa ajili ya kuliswalia:
”´Arshi ya Mwingi wa rehema imetikisika kwa ajili yake.”
Tamko ni la Muslim[1]. Imekuja kupitia njia nyingine kwamba Jaabir amesema:
”Jibriyl alikuja kwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akasema: ”Ni nani mja huyu mwema aliyekufa? Milango ya mbingu imefunguliwa kwa ajili yake na ´Arshi imetikisika kwa ajili yake.” Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akatoka nje na akaona kuwa ni Sa´d. Akaketi karibu na kaburi lake… ”
Ameipokea an-Nasaa´iy.
[1] al-Bukhaariy pia ameipokea. Nimeitaja katika ”Dhwilaal-ul-Jannah” (562). Ule upokezi mwingine umepokelewa pia na Ahmad (03/327). Cheni yake ya wapokezi ni nzuri. Abu Ja´far bin Abiy Shaybah ameipokea katika ”al-´Arsh” (01/133 – muswada).
Muhusika: Imaam Shams-ud-Diyn Muhammad bin Ahmad adh-Dhahabiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Mukhtasar-ul-´Uluww, uk. 108-109
Imechapishwa: 26/06/2024
Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/66-bwana-ambaye-arshi-ilitikisika-kwa-ajili-yake/