Mtu anahitaji subira katika hali tatu:
1- Kabla ya kuingia katika ´ibaadah kwa kusahihisha nia yake na Ikhlaasw na kuazimia kutelekeza maamrisho na kujiepusha na kujionyesha.
2- Wakati wa ´ibaadah kwa kulazimiana na subira na yale yote yanayoita katika mapungufu na uzembe. Wakati wa ´ibaadah anatakiwa kukumbuka nia yake na auhudhurishe moyo kwa Yule anayemuabudu. Mja anahitaji subira ili kuhakikisha nguzo, masharti, wajibu na mapendekezo ya matendo.
3- Subira baada ya kumaliza ´ibaadah ahakikishe anajiepusha na mambo yote yanayoiharibu ´ibaadah. Allaah (Ta´ala) amesema:
يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا لَا تُبْطِلُوا صَدَقَاتِكُم بِالْمَنِّ وَالْأَذَىٰ
“Enyi mlioamini! Msibatilishe swadaqah zenu kwa masimbulizi na udhia.” 02:264
Kitu cha manufaa zaidi ambacho mja anaweza kufikia ni kuwa na subira kwa kuilinda ´ibaadah yake baada ya kumaliza kuitekeleza. Hii ndio maana ya maneno ya Shaykh-ul-Islaam Ibn Taymiyyah.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Muhammad al-Hanbaliy al-Manbajiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Tasliyatu Ahl-il-Maswaa-ib, uk. 143-144
- Imechapishwa: 02/11/2016
Mtu anahitaji subira katika hali tatu:
1- Kabla ya kuingia katika ´ibaadah kwa kusahihisha nia yake na Ikhlaasw na kuazimia kutelekeza maamrisho na kujiepusha na kujionyesha.
2- Wakati wa ´ibaadah kwa kulazimiana na subira na yale yote yanayoita katika mapungufu na uzembe. Wakati wa ´ibaadah anatakiwa kukumbuka nia yake na auhudhurishe moyo kwa Yule anayemuabudu. Mja anahitaji subira ili kuhakikisha nguzo, masharti, wajibu na mapendekezo ya matendo.
3- Subira baada ya kumaliza ´ibaadah ahakikishe anajiepusha na mambo yote yanayoiharibu ´ibaadah. Allaah (Ta´ala) amesema:
يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا لَا تُبْطِلُوا صَدَقَاتِكُم بِالْمَنِّ وَالْأَذَىٰ
“Enyi mlioamini! Msibatilishe swadaqah zenu kwa masimbulizi na udhia.” 02:264
Kitu cha manufaa zaidi ambacho mja anaweza kufikia ni kuwa na subira kwa kuilinda ´ibaadah yake baada ya kumaliza kuitekeleza. Hii ndio maana ya maneno ya Shaykh-ul-Islaam Ibn Taymiyyah.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Muhammad al-Hanbaliy al-Manbajiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Tasliyatu Ahl-il-Maswaa-ib, uk. 143-144
Imechapishwa: 02/11/2016
https://firqatunnajia.com/63-subira-ya-mja-kwa-ibaadah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)