7 – Sifa za wanazuoni kwake:
1- ash-Shafi’iy amesema:
“Elimu inazunguka kwa watu watatu: Maalik, al-Layth na Ibn ´Uyaynah.”
2 – Imepokewa kwamba al-Awzaa’iy alikuwa akisema wakati anapomtaja Maalik:
“Mwanachuoni wa wanazuoni na muftiy wa misikiti miwili Mitakatifu.”
3 – Baqiyyah amesema:
“Hakukubaki juu ya uso wa ardhi ambaye ni mjuzi zaidi wa Sunnah kuliko wewe, ee Maalik.”
4 – Abu Yuusuf amesema:
“Sijaona mtu yeyote mjuzi zaidi kuliko Abu Haniyfah, Maalik na Ibn Abiy Laylaa.”
5 – Ahmad bin Hanbal alimtaja Maalik, akamtanguliza mbele ya al-Awzaa’iy, ath-Thawriy, al-Layth, Hammaad na al-Hakam ilipokuja katika suala la elimu na akasema:
“Yeye ni Imaam katika Hadiyth na Fiqh.”
6- al-Qattwaan amesema:
“Yeye ni imamu anayefuatwa.”
7- Ibn Ma’iyn amesema:
“Maalik ni katika hoja za Allaah dhidi ya viumbe Wake.”
8- Asad bin al-Furaat amesema:
“Ikiwa mnamtafuta Allaah na Aakhirah, basi shikamaneni na Maalik.”
- Muhusika: Shaykh ´Abdur-Razzaaq bin ´Allaamah ´Abdil-Muhsin al-´Abbaad al-Badr
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Athar al-Mash-huur ´an-il-Imaam Maalik fiy Swifat-il-Istiwaa’, uk. 15
- Imechapishwa: 27/11/2025
7 – Sifa za wanazuoni kwake:
1- ash-Shafi’iy amesema:
“Elimu inazunguka kwa watu watatu: Maalik, al-Layth na Ibn ´Uyaynah.”
2 – Imepokewa kwamba al-Awzaa’iy alikuwa akisema wakati anapomtaja Maalik:
“Mwanachuoni wa wanazuoni na muftiy wa misikiti miwili Mitakatifu.”
3 – Baqiyyah amesema:
“Hakukubaki juu ya uso wa ardhi ambaye ni mjuzi zaidi wa Sunnah kuliko wewe, ee Maalik.”
4 – Abu Yuusuf amesema:
“Sijaona mtu yeyote mjuzi zaidi kuliko Abu Haniyfah, Maalik na Ibn Abiy Laylaa.”
5 – Ahmad bin Hanbal alimtaja Maalik, akamtanguliza mbele ya al-Awzaa’iy, ath-Thawriy, al-Layth, Hammaad na al-Hakam ilipokuja katika suala la elimu na akasema:
“Yeye ni Imaam katika Hadiyth na Fiqh.”
6- al-Qattwaan amesema:
“Yeye ni imamu anayefuatwa.”
7- Ibn Ma’iyn amesema:
“Maalik ni katika hoja za Allaah dhidi ya viumbe Wake.”
8- Asad bin al-Furaat amesema:
“Ikiwa mnamtafuta Allaah na Aakhirah, basi shikamaneni na Maalik.”
Muhusika: Shaykh ´Abdur-Razzaaq bin ´Allaamah ´Abdil-Muhsin al-´Abbaad al-Badr
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Athar al-Mash-huur ´an-il-Imaam Maalik fiy Swifat-il-Istiwaa’, uk. 15
Imechapishwa: 27/11/2025
https://firqatunnajia.com/6-sifa-za-wanazuoni-kwa-imaam-maalik/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
