Abu Ja´far at-Twahaawiy (Rahimahu Allaah) amesema:
93 – Tunawaamini waandishi watukufu. Allaah amewafanya ni wenye kutuhifadhi.
94 – Tunawaamini Malaika wa mauti (ملك الموت), ambaye amepewa kazi ya kuzitoa roho za walimwengu.
MAELEZO
Ameitwa namna hii ndani ya Qur-aan. Ama kumwita israaiyl, kama ilivyoenea kwa watu, ni jambo halina msingi na hilo limechukuliwa kutoka kwa wana wa israaiyl.
- Muhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-´Aqiydah at-Twahaawiyyah – Sharh wa Ta´liyq, uk. 84
- Imechapishwa: 09/10/2024
Abu Ja´far at-Twahaawiy (Rahimahu Allaah) amesema:
93 – Tunawaamini waandishi watukufu. Allaah amewafanya ni wenye kutuhifadhi.
94 – Tunawaamini Malaika wa mauti (ملك الموت), ambaye amepewa kazi ya kuzitoa roho za walimwengu.
MAELEZO
Ameitwa namna hii ndani ya Qur-aan. Ama kumwita israaiyl, kama ilivyoenea kwa watu, ni jambo halina msingi na hilo limechukuliwa kutoka kwa wana wa israaiyl.
Muhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-´Aqiydah at-Twahaawiyyah – Sharh wa Ta´liyq, uk. 84
Imechapishwa: 09/10/2024
https://firqatunnajia.com/58-jina-la-malaika-wa-kifo/