4 – Abul-Ma´aaliy al-Juwayniy amesema:
”Miongoni mwa maneno mazuri ya Imaam Maalik wakati alipoulizwa ni namna gani Amelingana kuhusiana na maneno Yake (Ta´ala):
الرَّحْمَـٰنُ عَلَى الْعَرْشِ اسْتَوَىٰ
”Mwingi wa rehema amelingana juu ya ´Arshi.”[1]
akajibu:
“Kulingana juu kunatambulika na namna haitambuliki. Ni wajibu kuamini jambo hilo na kuuliza juu yake ni Bid´ah.”
Namna hiyohiyo ndio zinatakiwa kukabiliwa Aayah ya Kulingana juu, Ujio, Aayah nyenginezo kama vile:
مَا مَنَعَكَ أَن تَسْجُدَ لِمَا خَلَقْتُ بِيَدَيَّ
”Nini kilichokuzuia usimsujudie Niliyemuumba kwa mikono Yangu?”[2]
وَيَبْقَىٰ وَجْهُ رَبِّكَ
”… na utabakia uso wa Mola wako.”[3]
تَجْرِي بِأَعْيُنِنَا
”Inatembea chini ya macho Yetu.”[4]
na yale yaliyosihi kuhusiana na masimulizi ya Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa sallam), kama vile Kushuka.”[5]
[1] 20:05
[2] 38:75
[3] 55:27
[4] 54:14
[5] al-´Aqiydah an-Nidhwaamiyyah, uk. 25. Lakini Abul-Ma´aaliy ameegemea katika kijitabu chake hichi kwenye kutegemeza (التفويض) maana. Hiyo ndio ´Aqiydah yake ya mwisho. Alidhani kuwa hiyo ndio ´Aqiydah ya Salaf, kama vile Maalik. Tazama “Dar’-ut-Ta´aarudhw” (5/249) ya Ibn Taymiyyah.
- Muhusika: Shaykh ´Abdur-Razzaaq bin ´Allaamah ´Abdil-Muhsin al-´Abbaad al-Badr
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Athar al-Mash-huur ´an-il-Imaam Maalik fiy Swifat-il-Istiwaa’, uk. 81
4 – Abul-Ma´aaliy al-Juwayniy amesema:
”Miongoni mwa maneno mazuri ya Imaam Maalik wakati alipoulizwa ni namna gani Amelingana kuhusiana na maneno Yake (Ta´ala):
الرَّحْمَـٰنُ عَلَى الْعَرْشِ اسْتَوَىٰ
”Mwingi wa rehema amelingana juu ya ´Arshi.”[1]
akajibu:
“Kulingana juu kunatambulika na namna haitambuliki. Ni wajibu kuamini jambo hilo na kuuliza juu yake ni Bid´ah.”
Namna hiyohiyo ndio zinatakiwa kukabiliwa Aayah ya Kulingana juu, Ujio, Aayah nyenginezo kama vile:
مَا مَنَعَكَ أَن تَسْجُدَ لِمَا خَلَقْتُ بِيَدَيَّ
”Nini kilichokuzuia usimsujudie Niliyemuumba kwa mikono Yangu?”[2]
وَيَبْقَىٰ وَجْهُ رَبِّكَ
”… na utabakia uso wa Mola wako.”[3]
تَجْرِي بِأَعْيُنِنَا
”Inatembea chini ya macho Yetu.”[4]
na yale yaliyosihi kuhusiana na masimulizi ya Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa sallam), kama vile Kushuka.”[5]
[1] 20:05
[2] 38:75
[3] 55:27
[4] 54:14
[5] al-´Aqiydah an-Nidhwaamiyyah, uk. 25. Lakini Abul-Ma´aaliy ameegemea katika kijitabu chake hichi kwenye kutegemeza (التفويض) maana. Hiyo ndio ´Aqiydah yake ya mwisho. Alidhani kuwa hiyo ndio ´Aqiydah ya Salaf, kama vile Maalik. Tazama “Dar’-ut-Ta´aarudhw” (5/249) ya Ibn Taymiyyah.
Muhusika: Shaykh ´Abdur-Razzaaq bin ´Allaamah ´Abdil-Muhsin al-´Abbaad al-Badr
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Athar al-Mash-huur ´an-il-Imaam Maalik fiy Swifat-il-Istiwaa’, uk. 81
https://firqatunnajia.com/58-al-juwayniy-kuhusu-masimulizi-ya-maalik/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket