Swali 55: Je, kipomoko kinaswaliwa[1]?
Jibu: Kikizaliwa katika mwezi wa tano na baada ya hapo basi kinaoshwa, kuswaliwa na kuzikwa katika makaburi ya waislamu.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/164).
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 41
- Imechapishwa: 25/12/2021
Swali 55: Je, kipomoko kinaswaliwa[1]?
Jibu: Kikizaliwa katika mwezi wa tano na baada ya hapo basi kinaoshwa, kuswaliwa na kuzikwa katika makaburi ya waislamu.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/164).
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 41
Imechapishwa: 25/12/2021
https://firqatunnajia.com/55-inafaa-kukiswalia-kipomoko/