Swali 55: Mume alirudi kutoka safarini ya muda mrefu ambapo akamkuta mke wake amefunga swawm ya kulipa. Hakuweza kujizuia ambapo akawa amemwingilia pasi na ridhaa yake. Ni kipi chenye kuwalazimu[1]?
Jibu: Ni wajibu kwake mume kutubu kwa Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala). Hilo linapaswa kuwa kwa kujutia kile alichokifanya na kuazimia kutokurudi katika jambo hilo kwa ajili ya kumuadhimisha Allaah na kutahadhari adhabu yake.
Kuhusu mwanamke ikiwa kweli alilazimishwa basi hakuna kinachomlazimu na swawm yake ni sahihi. Ama ikiwa alimchukulia wepesi basi ni lazima kwake kulipa siku hiyo na wala halazimiki kutoa kafara[2].
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (15/309-310).
[2] Tazama https://firqatunnajia.com/mume-amemwita-kitandani-katika-swawm-ya-kulipa-ramadhaan/
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ahkaam-ul-Musaafir, uk. 78
- Imechapishwa: 21/05/2022
Swali 55: Mume alirudi kutoka safarini ya muda mrefu ambapo akamkuta mke wake amefunga swawm ya kulipa. Hakuweza kujizuia ambapo akawa amemwingilia pasi na ridhaa yake. Ni kipi chenye kuwalazimu[1]?
Jibu: Ni wajibu kwake mume kutubu kwa Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala). Hilo linapaswa kuwa kwa kujutia kile alichokifanya na kuazimia kutokurudi katika jambo hilo kwa ajili ya kumuadhimisha Allaah na kutahadhari adhabu yake.
Kuhusu mwanamke ikiwa kweli alilazimishwa basi hakuna kinachomlazimu na swawm yake ni sahihi. Ama ikiwa alimchukulia wepesi basi ni lazima kwake kulipa siku hiyo na wala halazimiki kutoa kafara[2].
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (15/309-310).
[2] Tazama https://firqatunnajia.com/mume-amemwita-kitandani-katika-swawm-ya-kulipa-ramadhaan/
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ahkaam-ul-Musaafir, uk. 78
Imechapishwa: 21/05/2022
https://firqatunnajia.com/55-amemjamii-mkewe-ambaye-amefunga-swawm-ya-kulipa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)