Maneno yake:
“… kuinuka kutoka kwenye Rukuu´.”
Nguzo ya tano miongoni mwa nguzo za swalah ni kuinuka kutoka kwenye Rukuu´. Kuinua kichwa kutoka katika Rukuu´. Hili ni kwa mujibu wa madhehebu ya Hanaabilah na wanazuoni wengi[1].
Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa anaponyanyua kichwa chake kutoka katika Rukuu´ na vivyo hivyo kutoka katika Sujuud basi husimama akanyooka barabara mpaka akasema mwenye kusema:
“Amesahau.”[2]
[1] Tazama ”al-Majmuu´” (03/377).
[2] al-Bukhaariy (821) na Muslim (742).
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Shuruwt-is-Swalaah, uk. 87
- Imechapishwa: 21/06/2022
Maneno yake:
“… kuinuka kutoka kwenye Rukuu´.”
Nguzo ya tano miongoni mwa nguzo za swalah ni kuinuka kutoka kwenye Rukuu´. Kuinua kichwa kutoka katika Rukuu´. Hili ni kwa mujibu wa madhehebu ya Hanaabilah na wanazuoni wengi[1].
Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa anaponyanyua kichwa chake kutoka katika Rukuu´ na vivyo hivyo kutoka katika Sujuud basi husimama akanyooka barabara mpaka akasema mwenye kusema:
“Amesahau.”[2]
[1] Tazama ”al-Majmuu´” (03/377).
[2] al-Bukhaariy (821) na Muslim (742).
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Shuruwt-is-Swalaah, uk. 87
Imechapishwa: 21/06/2022
https://firqatunnajia.com/54-nguzo-ya-tano-kuinuka-kutoka-katika-rukuu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)