12 – ´Iysaa bin ´Uthmaan amesema:
”Nilikuwa kwa Faatwimah bint ´Aliy wakati ambapo alikuja bwana mmoja akimsifu baba yake mbele yake. Hivyo akachukua majivu na kumrushia usoni mwake.”[1]
[1] Ibn Sa´d na kupitia kwake Ibn ´Asaakir. Cheni yake ya wapokezi ni nzuri. ´Iysaa bin ´Uthmaan ametajwa katika ”ath-Thiqaat” ya Ibn Hibbaan.
- Mhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Jilbaab-ul-Mar-ah al-Muslimah, uk. 102
- Imechapishwa: 01/10/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)