Swali 54: Ni kwa nini Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ameacha kumswalia ambaye yuko na deni[1]?
Jibu: Hili limefutwa. Hapa ilikuwa mwanzoni kwa ajili ya kuwahimiza kukopa kuchache na kuharakisha kulipa. Baadaye jambo hilo likafutwa. Mwishoni (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliwaswalia wote wenye madeni na ambao hawana madeni.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/163-164).
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 40
- Imechapishwa: 25/12/2021
Swali 54: Ni kwa nini Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ameacha kumswalia ambaye yuko na deni[1]?
Jibu: Hili limefutwa. Hapa ilikuwa mwanzoni kwa ajili ya kuwahimiza kukopa kuchache na kuharakisha kulipa. Baadaye jambo hilo likafutwa. Mwishoni (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliwaswalia wote wenye madeni na ambao hawana madeni.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/163-164).
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 40
Imechapishwa: 25/12/2021
https://firqatunnajia.com/54-hukumu-ya-kuacha-kumswalia-aliye-na-deni-imefutwa/