Swali 53: Ni ipi hukumu ya kuacha kuwaswalia Ahl-ul-Bid´ah?
Jibu: Wanazuoni wakiacha kumswalia kwa lengo la kuwakimbiza watu kutokamana na matendo yao, ni jambo la sawa ikiwa Bid´ah zao hazipelekei katika kuwakufurisha. Ama ikiwa Bid´ah zao ni za kukufurisha, kama mfano wa Bid´ah za Khawaarij, Mu´tazilah na Jahmiyyah, haifai kuwaswalia.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 40
- Imechapishwa: 25/12/2021
Swali 53: Ni ipi hukumu ya kuacha kuwaswalia Ahl-ul-Bid´ah?
Jibu: Wanazuoni wakiacha kumswalia kwa lengo la kuwakimbiza watu kutokamana na matendo yao, ni jambo la sawa ikiwa Bid´ah zao hazipelekei katika kuwakufurisha. Ama ikiwa Bid´ah zao ni za kukufurisha, kama mfano wa Bid´ah za Khawaarij, Mu´tazilah na Jahmiyyah, haifai kuwaswalia.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 40
Imechapishwa: 25/12/2021
https://firqatunnajia.com/53-ni-ipi-hukumu-ya-kuacha-kuwaswalia-ahl-ul-bidah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)