50 – Ibn Mas´uud amesema:
”Wakati mja anapofikiria kufanya jambo la kibiashara au la kiutawala, ambapo jambo likamkuwia jepesi, Allaah akamtazama kutokea juu ya mbingu ya saba na akawaambia Malaika: ”Liondosheni kwake! Kwa sababu nikimfanyia nalo wepesi, basi nitamwingiza kwa ajili yake Motoni.”[1]
Ameipokea al-Laalakaa´iy kwa cheni ya wapokezi yenye nguvu[2].
[1] Cheni ya wapokezi ni Swahiyh kwa mujibu wa Ibn-ul-Qayyim katika “Ijitimaa´-ul-Juyuush al-Islaamiyyah”. ad-Daarimiy amepokea mfano wake katika “ar-Radd ´alaal-Jahmiyyah”, uk. 26.
[2] Ameipokea al-Laalakaa´iy katika “Sharh Usuwli I´tiqaadi Ahl-is-Sunnah wal-Jamaa´ah” kwa cheni ya wapokezi dhaifu, kama alivyoashiria hivo mtunzi, kupitia kwake ameipokea mtunzi wa kitabu.
- Muhusika: Imaam Shams-ud-Diyn Muhammad bin Ahmad adh-Dhahabiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Mukhtasar-ul-´Uluww, uk. 104
- Imechapishwa: 24/06/2024
- Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket