50 – Ibn Mas´uud amesema:
”Wakati mja anapofikiria kufanya jambo la kibiashara au la kiutawala, ambapo jambo likamkuwia jepesi, Allaah akamtazama kutokea juu ya mbingu ya saba na akawaambia Malaika: ”Liondosheni kwake! Kwa sababu nikimfanyia nalo wepesi, basi nitamwingiza kwa ajili yake Motoni.”[1]
Ameipokea al-Laalakaa´iy kwa cheni ya wapokezi yenye nguvu[2].
[1] Cheni ya wapokezi ni Swahiyh kwa mujibu wa Ibn-ul-Qayyim katika “Ijitimaa´-ul-Juyuush al-Islaamiyyah”. ad-Daarimiy amepokea mfano wake katika “ar-Radd ´alaal-Jahmiyyah”, uk. 26.
[2] Ameipokea al-Laalakaa´iy katika “Sharh Usuwli I´tiqaadi Ahl-is-Sunnah wal-Jamaa´ah” kwa cheni ya wapokezi dhaifu, kama alivyoashiria hivo mtunzi, kupitia kwake ameipokea mtunzi wa kitabu.
- Muhusika: Imaam Shams-ud-Diyn Muhammad bin Ahmad adh-Dhahabiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Mukhtasar-ul-´Uluww, uk. 104
- Imechapishwa: 24/06/2024
- Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
50 – Ibn Mas´uud amesema:
”Wakati mja anapofikiria kufanya jambo la kibiashara au la kiutawala, ambapo jambo likamkuwia jepesi, Allaah akamtazama kutokea juu ya mbingu ya saba na akawaambia Malaika: ”Liondosheni kwake! Kwa sababu nikimfanyia nalo wepesi, basi nitamwingiza kwa ajili yake Motoni.”[1]
Ameipokea al-Laalakaa´iy kwa cheni ya wapokezi yenye nguvu[2].
[1] Cheni ya wapokezi ni Swahiyh kwa mujibu wa Ibn-ul-Qayyim katika “Ijitimaa´-ul-Juyuush al-Islaamiyyah”. ad-Daarimiy amepokea mfano wake katika “ar-Radd ´alaal-Jahmiyyah”, uk. 26.
[2] Ameipokea al-Laalakaa´iy katika “Sharh Usuwli I´tiqaadi Ahl-is-Sunnah wal-Jamaa´ah” kwa cheni ya wapokezi dhaifu, kama alivyoashiria hivo mtunzi, kupitia kwake ameipokea mtunzi wa kitabu.
Muhusika: Imaam Shams-ud-Diyn Muhammad bin Ahmad adh-Dhahabiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Mukhtasar-ul-´Uluww, uk. 104
Imechapishwa: 24/06/2024
Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/53-ndio-maana-pengine-mipango-ya-biashara-yako-isifaulu/