49 – Abu Ahmad al-´Assaal amepokea kwa cheni ya wapokezi Swahiyh kutoka kwa Ibn Mas´uud ya kwamba amesema:
”Mwenye kusema:
سبحان الله و الحمد لله و الله اكبر
”Allaah ametakasika kutokana na mapungufu. Himdi zote njema anastahiki Allaah. Allaah ni mkubwa.”,
basi anayapokea Malaika na kupanda nayo kwa Allaah (´Azza wa Jall). Hawapitii kundi lolote la Malaika isipokuwa wanamuombea msamaha aliyeyatamka mpaka pale anapofika nayo kwenye uso wa Mwingi wa huruma (´Azza wa Jall).”
- Muhusika: Imaam Shams-ud-Diyn Muhammad bin Ahmad adh-Dhahabiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Mukhtasar-ul-´Uluww, uk. 104
- Imechapishwa: 24/06/2024
- Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
49 – Abu Ahmad al-´Assaal amepokea kwa cheni ya wapokezi Swahiyh kutoka kwa Ibn Mas´uud ya kwamba amesema:
”Mwenye kusema:
سبحان الله و الحمد لله و الله اكبر
”Allaah ametakasika kutokana na mapungufu. Himdi zote njema anastahiki Allaah. Allaah ni mkubwa.”,
basi anayapokea Malaika na kupanda nayo kwa Allaah (´Azza wa Jall). Hawapitii kundi lolote la Malaika isipokuwa wanamuombea msamaha aliyeyatamka mpaka pale anapofika nayo kwenye uso wa Mwingi wa huruma (´Azza wa Jall).”
Muhusika: Imaam Shams-ud-Diyn Muhammad bin Ahmad adh-Dhahabiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Mukhtasar-ul-´Uluww, uk. 104
Imechapishwa: 24/06/2024
Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/52-maneno-yanayopandishwa-kwenda-katika-uso-wa-allaah/