Swali 52: Tumswalie tukijua kuwa maiti ni mnafiki[1]?
Jibu: Haswaliwi. Amesema (Ta´ala):
وَلَا تُصَلِّ عَلَىٰ أَحَدٍ مِّنْهُم مَّاتَ أَبَدًا
“Wala usimswalie yeyote kabisa miongoni mwao akifa.[2]
Hapa ni pale ambapo ikiwa unafiki wake ni wa dhahiri. Ama ikiwa inahusiana na tuhuma peke yake, anaswaliwa. Kwa sababu kimsingi ni ulazima wa kumswalia maiti muislamu. Hivyo wajibu hauachwi kwa sababu ya kuwa shaka.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/160).
[2] 9:84
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 39-40
- Imechapishwa: 24/12/2021
Swali 52: Tumswalie tukijua kuwa maiti ni mnafiki[1]?
Jibu: Haswaliwi. Amesema (Ta´ala):
وَلَا تُصَلِّ عَلَىٰ أَحَدٍ مِّنْهُم مَّاتَ أَبَدًا
“Wala usimswalie yeyote kabisa miongoni mwao akifa.[2]
Hapa ni pale ambapo ikiwa unafiki wake ni wa dhahiri. Ama ikiwa inahusiana na tuhuma peke yake, anaswaliwa. Kwa sababu kimsingi ni ulazima wa kumswalia maiti muislamu. Hivyo wajibu hauachwi kwa sababu ya kuwa shaka.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/160).
[2] 9:84
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 39-40
Imechapishwa: 24/12/2021
https://firqatunnajia.com/52-inafaa-kumswalia-maiti-mnafiki/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)