Miongoni mwa hekima za swawm ni kuivunja nafsi na kuufanya kuwa na mpaka juu ya kiburi chake mpaka iweze kuwanyenyekea viumbe na kuwa mlaini kwa viumbe. Hakika ushibaji, kujionyesha na kuchanganyikana na wanawake ni mambo kila moja katika hayo yanapelekea katika shari, kujikweza na kuwa na kiburi juu ya viumbe na haki. Hilo ni kwa sababu pindi nafsi inapoyachagua mambo haya basi inajishughulisha kuyafikia. Inapoyaweza basi huona kuwa imefikia malengo yake. Matokeo yake inapata furaha yenye kusemwa vibaya na jeuri katika mambo ambayo inakuwa ni sababu ya kuiangamiza. Aliyekingwa ni yule ambaye amekingwa na Allaah (Ta´ala).
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majaalis Shahr Ramadhwaan, uk. 65
- Imechapishwa: 18/05/2020
Miongoni mwa hekima za swawm ni kuivunja nafsi na kuufanya kuwa na mpaka juu ya kiburi chake mpaka iweze kuwanyenyekea viumbe na kuwa mlaini kwa viumbe. Hakika ushibaji, kujionyesha na kuchanganyikana na wanawake ni mambo kila moja katika hayo yanapelekea katika shari, kujikweza na kuwa na kiburi juu ya viumbe na haki. Hilo ni kwa sababu pindi nafsi inapoyachagua mambo haya basi inajishughulisha kuyafikia. Inapoyaweza basi huona kuwa imefikia malengo yake. Matokeo yake inapata furaha yenye kusemwa vibaya na jeuri katika mambo ambayo inakuwa ni sababu ya kuiangamiza. Aliyekingwa ni yule ambaye amekingwa na Allaah (Ta´ala).
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majaalis Shahr Ramadhwaan, uk. 65
Imechapishwa: 18/05/2020
https://firqatunnajia.com/50-hekima-ya-sita-ya-swawm-kuuvunja-moyo-uwanyenyekee-viumbe/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)