Miongoni mwa hekima za swawm ni kujizoweza kulidhibiti tumbo na nguvu ya kujizuia makali yake mpaka mtu anakuwa ni mwenye kuweza kuihukumu na kuiongoza katika yale yaliyo na kheri na uokozi wake. Kwani hakika nafsi ni yenye kuamrisha maovu kwa wingi isipokuwa ile iliyorehemewa na Mola.
Pindi mtu anapoiachia hivyo nafsi yake basi inamsaidia au inamwingiza katika maangamivu. Lakini akimiliki jambo lake na akaitawala basi huwezi kuiongoza katika ngazi na malengo ya juu zaidi.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majaalis Shahr Ramadhwaan, uk. 65
- Imechapishwa: 18/05/2020
Miongoni mwa hekima za swawm ni kujizoweza kulidhibiti tumbo na nguvu ya kujizuia makali yake mpaka mtu anakuwa ni mwenye kuweza kuihukumu na kuiongoza katika yale yaliyo na kheri na uokozi wake. Kwani hakika nafsi ni yenye kuamrisha maovu kwa wingi isipokuwa ile iliyorehemewa na Mola.
Pindi mtu anapoiachia hivyo nafsi yake basi inamsaidia au inamwingiza katika maangamivu. Lakini akimiliki jambo lake na akaitawala basi huwezi kuiongoza katika ngazi na malengo ya juu zaidi.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majaalis Shahr Ramadhwaan, uk. 65
Imechapishwa: 18/05/2020
https://firqatunnajia.com/49-hekima-ya-tano-ya-swawm-kulipa-mazoezi-tumbo/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)