Swali 47: Ni misafara ipi ya kijeshi ilifanyika mwaka huo?
Jibu: Katika mwezi wa Jumaadaa al-Aakhirah, Zayd bin Haarithah aliongoza msafara wa kijeshi dhidi ya msafara wa Quraysh na akapata ngawira za vita kutoka hapo.
Katika mwaka huohuo, Muhammad bin Maslamah na Maswahabah wengine wanne walimtokomeza mbali Ka’b al-Ashraf, jambo linalofahamisha kwamba inafaa kufanya hadaa vitani.
- Mhusika: ´Allaamah Haafidhw bin Ahmad al-Hakamiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Amaaliy fiys-Siyrah an-Nabawiyyah, uk. 111-112
- Imechapishwa: 13/10/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)