203 – Abu Bakr ametukhabarisha: Ahmad bin al-Mufadhdhwal ametukhabarisha: Asbaatw ametukhabarisha, kutoka kwa as-Suddiy, kutoka kwa ´Abdu Khayr, kutoka kwa ´Abdullaah bin Mas´uuud, aliyesema:
“Sikuwa nafikiri kama kuna yeyote katika Maswahabah wa Muhammad (Swalla Allaahu ‘alayhi wa sallam) anayetamani dunia mpaka kulipoteremshwa Aayah isemayo:
مِنكُم مَّن يُرِيدُ الدُّنْيَا وَمِنكُم مَّن يُرِيدُ الْآخِرَةَ
”Miongoni mwenu wako wenye kutaka ulimwengu na miongoni mwenu wako wenye kutaka Aakhirah.”[1]
[1] 3:152 at-Twabaraaniy katika “al-Awsatw” (1399).
- Muhusika: Imaam Abu Bakr Ahmad bin Abiy ´Aaswim ash-Shaybaaniy (a.f.k. 287)
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Kitaab-uz-Zuhd, uk. 52-53
- Imechapishwa: 15/07/2025
203 – Abu Bakr ametukhabarisha: Ahmad bin al-Mufadhdhwal ametukhabarisha: Asbaatw ametukhabarisha, kutoka kwa as-Suddiy, kutoka kwa ´Abdu Khayr, kutoka kwa ´Abdullaah bin Mas´uuud, aliyesema:
“Sikuwa nafikiri kama kuna yeyote katika Maswahabah wa Muhammad (Swalla Allaahu ‘alayhi wa sallam) anayetamani dunia mpaka kulipoteremshwa Aayah isemayo:
مِنكُم مَّن يُرِيدُ الدُّنْيَا وَمِنكُم مَّن يُرِيدُ الْآخِرَةَ
”Miongoni mwenu wako wenye kutaka ulimwengu na miongoni mwenu wako wenye kutaka Aakhirah.”[1]
[1] 3:152 at-Twabaraaniy katika “al-Awsatw” (1399).
Muhusika: Imaam Abu Bakr Ahmad bin Abiy ´Aaswim ash-Shaybaaniy (a.f.k. 287)
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Kitaab-uz-Zuhd, uk. 52-53
Imechapishwa: 15/07/2025
https://firqatunnajia.com/47-baadhi-wanatamani-dunia-wengine-wanatamani-aakhirah-2/