Shaykh-ul-Islaam Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (Rahimahu Allaah) amesema:
وَإِذْ قَالَ اللَّـهُ يَا عِيسَى ابْنَ مَرْيَمَ أَأَنتَ قُلْتَ لِلنَّاسِ اتَّخِذُونِي وَأُمِّيَ إِلَـٰهَيْنِ مِن دُونِ اللَّـهِ ۖ قَالَ سُبْحَانَكَ مَا يَكُونُ لِي أَنْ أَقُولَ مَا لَيْسَ لِي بِحَقٍّ
“Na Allaah atakaposema: “Ee ‘Iysaa mwana wa Maryam! Je, wewe uliwaambia watu: “Nifanyeni mimi na mama yangu kuwa ni miungu miwili pasi naya Allaah?” Atasema: “Utakasifu ni Wako!” Hainipasi mimi kusema yasiyo kuwa haki kwangu.” (05:116)
MAELEZO
Mtajie maneno Yake (Ta´ala):
وَإِذْ قَالَ اللَّـهُ يَا عِيسَى ابْنَ مَرْيَمَ
“Na Allaah atakaposema: “Ee ‘Iysaa mwana wa Maryam!”
Mtajie haya ili ameze mawe ya kuwa kweli kuna makafiri waliokuwa wakiabudu mawalii na waja wema. Kwa hiyo hakuna tofauti kati yake na hawa makafiri.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Kashf-ish-Shubuhaat, uk. 63
- Imechapishwa: 24/11/2023
Shaykh-ul-Islaam Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (Rahimahu Allaah) amesema:
وَإِذْ قَالَ اللَّـهُ يَا عِيسَى ابْنَ مَرْيَمَ أَأَنتَ قُلْتَ لِلنَّاسِ اتَّخِذُونِي وَأُمِّيَ إِلَـٰهَيْنِ مِن دُونِ اللَّـهِ ۖ قَالَ سُبْحَانَكَ مَا يَكُونُ لِي أَنْ أَقُولَ مَا لَيْسَ لِي بِحَقٍّ
“Na Allaah atakaposema: “Ee ‘Iysaa mwana wa Maryam! Je, wewe uliwaambia watu: “Nifanyeni mimi na mama yangu kuwa ni miungu miwili pasi naya Allaah?” Atasema: “Utakasifu ni Wako!” Hainipasi mimi kusema yasiyo kuwa haki kwangu.” (05:116)
MAELEZO
Mtajie maneno Yake (Ta´ala):
وَإِذْ قَالَ اللَّـهُ يَا عِيسَى ابْنَ مَرْيَمَ
“Na Allaah atakaposema: “Ee ‘Iysaa mwana wa Maryam!”
Mtajie haya ili ameze mawe ya kuwa kweli kuna makafiri waliokuwa wakiabudu mawalii na waja wema. Kwa hiyo hakuna tofauti kati yake na hawa makafiri.
Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Kashf-ish-Shubuhaat, uk. 63
Imechapishwa: 24/11/2023
https://firqatunnajia.com/46-mlango-wa-07-wenye-kuwaomba-uombezi-masanamu-na-maiti-lengo-lao-ni-moja-iii/