Swali: Tunawaona watu wengi wanaswali katika Ramadhaan peke yake. Ramadhaan inapomalizika wanaihama misikiti. Unasemaje juu ya hilo?
Jibu: Huku ni kufahamu vibaya. Waislamu mnatakiwa kuhifadhi swalah katika Ramadhaan na miezi mingine. Ikiwa mmehifadhi swalah katika Ramadhaan na mkaona kuwa ni wajibu wa Uislamu, basi mnalazimika kuendelea juu ya jambo hilo. Hebu ifanyeni Ramadhaan iwe sababu ya kunyooka kwenu na kuendelea juu ya kheri. Ihifadhini kheri. Msiwe miongoni mwa wale wanaofanya matendo maovu baada ya kufanya matendo mazuri.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah Aalush-Shaykh
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Min Fataawaas-Swiyaam, uk. 38
- Imechapishwa: 02/04/2022
Swali: Tunawaona watu wengi wanaswali katika Ramadhaan peke yake. Ramadhaan inapomalizika wanaihama misikiti. Unasemaje juu ya hilo?
Jibu: Huku ni kufahamu vibaya. Waislamu mnatakiwa kuhifadhi swalah katika Ramadhaan na miezi mingine. Ikiwa mmehifadhi swalah katika Ramadhaan na mkaona kuwa ni wajibu wa Uislamu, basi mnalazimika kuendelea juu ya jambo hilo. Hebu ifanyeni Ramadhaan iwe sababu ya kunyooka kwenu na kuendelea juu ya kheri. Ihifadhini kheri. Msiwe miongoni mwa wale wanaofanya matendo maovu baada ya kufanya matendo mazuri.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah Aalush-Shaykh
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Min Fataawaas-Swiyaam, uk. 38
Imechapishwa: 02/04/2022
https://firqatunnajia.com/46-kuswali-katika-ramadhaan-tu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)