Swali 45: Wako wanaokunasibishia maoni ya kwamba utoko hauchengui wudhuu´.
Jibu: Mwenye kuninasibishia mimi maoni hayo si mkweli. Dhahiri ni kuwa maneno yangu kusema kuwa utoko ni msafi amefahamu kimakosa kwamba hauchengui wudhuu´.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: 60 su-aal wa jawaab fiy Ahkaam-il-Haydhw, uk. 37
- Imechapishwa: 27/08/2021
Swali 45: Wako wanaokunasibishia maoni ya kwamba utoko hauchengui wudhuu´.
Jibu: Mwenye kuninasibishia mimi maoni hayo si mkweli. Dhahiri ni kuwa maneno yangu kusema kuwa utoko ni msafi amefahamu kimakosa kwamba hauchengui wudhuu´.
Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: 60 su-aal wa jawaab fiy Ahkaam-il-Haydhw, uk. 37
Imechapishwa: 27/08/2021
https://firqatunnajia.com/45-kufahamu-kimakosa-kuwa-utoko-hauchengui-wudhuu-kwa-kuwa-ni-msafi/