Swali 42: Yalitokea matukio mengine yepi katika mwaka huohuo?
Jibu: Kujengwa msikiti, kutengeneza udugu kati ya Wahajiri na Wanusuraji na Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kuishi na ´Aaishah (Radhiya Allaahu ´anh) kindoa katika Shawwaal, miaka miwili baada ya kumuoa yeye na Sawdah Makkah. Mwaka huohuo Wahajiri wakapigwa na homa Madiynah ambapo Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akaomba kuondoshwa janga hilo na ikahamia Juhfah.
- Mhusika: ´Allaamah Haafidhw bin Ahmad al-Hakamiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Amaaliy fiys-Siyrah an-Nabawiyyah, uk. 107-108
- Imechapishwa: 08/10/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)