10- Swalah ya jeneza
Sunnah ni kusoma “al-Faatihah”[1] na Suurah nyingine. Alizisoma (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kwa sauti ya chini baada ya Takbiyr ya kwanza[2].
[1] Haya ni maoni ya Imaam ash-Shaafi´iy, Ahmad, Ishaaq na vilevile wahakiki wengi katika Hanafiyyah waliokuja baadaye. Kuhusu kusoma Suurah baada yake ni maoni ya Shaafi´iyyah na ni sahihi.
[2] an-Nasaa’iy na at-Twahaawiy kwa mlolongo wa wapokezi Swahiyh.
- Muhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swifatu Swalaat-in-Nabiy, uk. 107
- Imechapishwa: 15/02/2017
10- Swalah ya jeneza
Sunnah ni kusoma “al-Faatihah”[1] na Suurah nyingine. Alizisoma (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kwa sauti ya chini baada ya Takbiyr ya kwanza[2].
[1] Haya ni maoni ya Imaam ash-Shaafi´iy, Ahmad, Ishaaq na vilevile wahakiki wengi katika Hanafiyyah waliokuja baadaye. Kuhusu kusoma Suurah baada yake ni maoni ya Shaafi´iyyah na ni sahihi.
[2] an-Nasaa’iy na at-Twahaawiy kwa mlolongo wa wapokezi Swahiyh.
Muhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swifatu Swalaat-in-Nabiy, uk. 107
Imechapishwa: 15/02/2017
https://firqatunnajia.com/42-kisomo-cha-qur-aan-katika-swalah-ya-jeneza/
Mshirikishe mwenzako:
- Share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Print (Opens in new window) Print
- Email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Share on X (Opens in new window) X
- Share on Pocket (Opens in new window) Pocket