2- Hali kadhalika kutawassul kwa du´aa za watu wema waliohai. Ni jambo linalofaa. Kama jinsi ´Umar alivyotawassul kwa ´Abbaas na akamuomba du´aa na Mu´aawiyah akatawassul kwa du´aa ya Yaziyd al-Jarshiy. Kwa ajili hii wanachuoni wamesema katika “Kitaab-ul-Istisqaa´”:
“Imependekezwa kutawassul kwa waja wema.”[1]
Kama alivyofanya ´Umar (Radhiya Allaahu ´anh). Makusudio sio kutawassul kwa haki zao, nafasi zao na jaha zao.
Kutawassul kwa jaha au kwa haki ya mtu na nafasi ya mtu mbele ya Allaah, hizi ni Tawassul zilizozuliwa na kuharamishwa. Vilevile ni njia katika njia zinazopelekea katika shirki.
[1] Tazama “al-Mughniy” (3/346) na “al-Kaafiy” (1/535).
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Nawaaqidh-il-Islaam, uk. 69
- Imechapishwa: 11/08/2018
2- Hali kadhalika kutawassul kwa du´aa za watu wema waliohai. Ni jambo linalofaa. Kama jinsi ´Umar alivyotawassul kwa ´Abbaas na akamuomba du´aa na Mu´aawiyah akatawassul kwa du´aa ya Yaziyd al-Jarshiy. Kwa ajili hii wanachuoni wamesema katika “Kitaab-ul-Istisqaa´”:
“Imependekezwa kutawassul kwa waja wema.”[1]
Kama alivyofanya ´Umar (Radhiya Allaahu ´anh). Makusudio sio kutawassul kwa haki zao, nafasi zao na jaha zao.
Kutawassul kwa jaha au kwa haki ya mtu na nafasi ya mtu mbele ya Allaah, hizi ni Tawassul zilizozuliwa na kuharamishwa. Vilevile ni njia katika njia zinazopelekea katika shirki.
[1] Tazama “al-Mughniy” (3/346) na “al-Kaafiy” (1/535).
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Nawaaqidh-il-Islaam, uk. 69
Imechapishwa: 11/08/2018
https://firqatunnajia.com/42-aina-ya-pili-ya-tawassul-inayojuzu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)