Wapinzani wa Ahl-us-Sunnah kuhusu maneno ya Allaah (Ta´ala).
Yako mapote yaliyokwenda kombo na Ahl-us-Sunnah. Tutataja miongoni mwayo mapote mawili:
1 – Jahmiyyah. Wanaona kuwa maneno sio katika sifa za Allaah. Hakika si venginevyo ni kiumbe miongoni mwa viumbe vya Allaah. Allaah anayaumba angani au katika mahali yanaposikika. Allaah ameyaegemeza Kwake kama kiumbe au kwa njia ya kuyatukuza. Ni kama mfano wa ngamia wa Allaah au nyumba ya Allaah. Tunawaraddi ifuatavyo:
1 – Ni kitu kinapingana na maafikiano ya Salaf.
2 – Kinaenda kinyume na akili. Maneno ni sifa ya yule mzungumzaji na sio kitu kinachosimama peke yake kilichotengana na yule mzungumzaji.
3 – Muusa alimsikia Allaah akisema:
إِنَّنِي أَنَا اللَّـهُ لَا إِلَـٰهَ إِلَّا أَنَا فَاعْبُدْنِي
”Hakika mimi ni Allaah, hakuna mungu wa haki isipokuwa Yeye, basi niabudu.”
Haiwezekani kabisa akasema hivo mwingine isipokuwa Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala).
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ta´aliyq mukhtaswar ´alaa Lum´at-il-I´tiqaad, uk. 72-73
- Imechapishwa: 31/10/2022
Wapinzani wa Ahl-us-Sunnah kuhusu maneno ya Allaah (Ta´ala).
Yako mapote yaliyokwenda kombo na Ahl-us-Sunnah. Tutataja miongoni mwayo mapote mawili:
1 – Jahmiyyah. Wanaona kuwa maneno sio katika sifa za Allaah. Hakika si venginevyo ni kiumbe miongoni mwa viumbe vya Allaah. Allaah anayaumba angani au katika mahali yanaposikika. Allaah ameyaegemeza Kwake kama kiumbe au kwa njia ya kuyatukuza. Ni kama mfano wa ngamia wa Allaah au nyumba ya Allaah. Tunawaraddi ifuatavyo:
1 – Ni kitu kinapingana na maafikiano ya Salaf.
2 – Kinaenda kinyume na akili. Maneno ni sifa ya yule mzungumzaji na sio kitu kinachosimama peke yake kilichotengana na yule mzungumzaji.
3 – Muusa alimsikia Allaah akisema:
إِنَّنِي أَنَا اللَّـهُ لَا إِلَـٰهَ إِلَّا أَنَا فَاعْبُدْنِي
”Hakika mimi ni Allaah, hakuna mungu wa haki isipokuwa Yeye, basi niabudu.”
Haiwezekani kabisa akasema hivo mwingine isipokuwa Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala).
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ta´aliyq mukhtaswar ´alaa Lum´at-il-I´tiqaad, uk. 72-73
Imechapishwa: 31/10/2022
https://firqatunnajia.com/41-jahmiyyah-kuhusu-maneno-ya-allaah-na-majibu-juu-yao/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)