Ufikiriaji ulioamrishwa hapa ambao Ibn-ul-Qayyim (Rahimahu Allaah) amebainsha ni kwamba moyo unatakiwa kufikiria elimu mbili ili uweze kufikia elimu ya tatu[1]. Ili linawekwa wazi zaidi kwa mifano: Iwapo muislamu atafikiria ukubwa ukubwa wa viumbe hivi, kama vile mbingu, ardhi, Kursiy na ´Arshi, kisha akafikiria kule kushindwa kwake kuvielewa na kuvizunguka kiujuzi, basi ataweza kufikia ujuzi wa tatu; mosi ukubwa na utukufu wa viumbe vyote hivi, pili akili kushindwa kuelewa sifa Zake na kuzizunguka sifa Zake (Subhaanah). Amesema (Subhaanah):
وَقُلِ الْحَمْدُ لِلَّـهِ الَّذِي لَمْ يَتَّخِذْ وَلَدًا وَلَمْ يَكُن لَّهُ شَرِيكٌ فِي الْمُلْكِ وَلَمْ يَكُن لَّهُ وَلِيٌّ مِّنَ الذُّلِّ ۖوَكَبِّرْهُ تَكْبِيرًا
”Na sema: “Sifa njema zote ni za Allaah ambaye hakujifanyia mwana na wala hakuwa na mshirika katika ufalme na wala hakuwa dhaifu hata awe [ahitaji] mlinzi; basi mtukuze matukuzo makubwa kabisa!”[2]
Allaah kwa kweli ni mkubwa. Sifa zote njema ni Allaah kwa wingi. Kutakasika kutokana na mapungufu ni kwa Allaah, asubuhi na jioni.
[1] Miftaahu Daar-is-Sa´aadah, uk. 181.
[2] 17:111
- Muhusika: Shaykh ´Abdur-Razzaaq bin ´Allaamah ´Abdil-Muhsin al-´Abbaad al-Badr
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Athar al-Mash-huur ´an-il-Imaam Maalik fiy Swifat-il-Istiwaa’, uk. 60
- Imechapishwa: 03/12/2025
Ufikiriaji ulioamrishwa hapa ambao Ibn-ul-Qayyim (Rahimahu Allaah) amebainsha ni kwamba moyo unatakiwa kufikiria elimu mbili ili uweze kufikia elimu ya tatu[1]. Ili linawekwa wazi zaidi kwa mifano: Iwapo muislamu atafikiria ukubwa ukubwa wa viumbe hivi, kama vile mbingu, ardhi, Kursiy na ´Arshi, kisha akafikiria kule kushindwa kwake kuvielewa na kuvizunguka kiujuzi, basi ataweza kufikia ujuzi wa tatu; mosi ukubwa na utukufu wa viumbe vyote hivi, pili akili kushindwa kuelewa sifa Zake na kuzizunguka sifa Zake (Subhaanah). Amesema (Subhaanah):
وَقُلِ الْحَمْدُ لِلَّـهِ الَّذِي لَمْ يَتَّخِذْ وَلَدًا وَلَمْ يَكُن لَّهُ شَرِيكٌ فِي الْمُلْكِ وَلَمْ يَكُن لَّهُ وَلِيٌّ مِّنَ الذُّلِّ ۖوَكَبِّرْهُ تَكْبِيرًا
”Na sema: “Sifa njema zote ni za Allaah ambaye hakujifanyia mwana na wala hakuwa na mshirika katika ufalme na wala hakuwa dhaifu hata awe [ahitaji] mlinzi; basi mtukuze matukuzo makubwa kabisa!”[2]
Allaah kwa kweli ni mkubwa. Sifa zote njema ni Allaah kwa wingi. Kutakasika kutokana na mapungufu ni kwa Allaah, asubuhi na jioni.
[1] Miftaahu Daar-is-Sa´aadah, uk. 181.
[2] 17:111
Muhusika: Shaykh ´Abdur-Razzaaq bin ´Allaamah ´Abdil-Muhsin al-´Abbaad al-Badr
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Athar al-Mash-huur ´an-il-Imaam Maalik fiy Swifat-il-Istiwaa’, uk. 60
Imechapishwa: 03/12/2025
https://firqatunnajia.com/38-tafakuri-iliyoamrishwa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
