Swali: Miaka kadhaa iliyopita niliamka kutoka usingizini katika Ramadhaan na sikuwa na uhakika kama kumeshaadhiniwa kwa ajili ya Fajr au bado. Nikanywa juisi na tahamaki nikasikia kunakimiwa swalah. Nifanye nini?
Jibu: Ni lazima kwako kuilipa siku hiyo na hakuna kinachokulazimu zaidi ya hivo. Ni lazima kwako kuhakikisha wakati mwingine.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah Aalush-Shaykh
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Min Fataawaas-Swiyaam, uk. 35
- Imechapishwa: 01/04/2022
Swali: Miaka kadhaa iliyopita niliamka kutoka usingizini katika Ramadhaan na sikuwa na uhakika kama kumeshaadhiniwa kwa ajili ya Fajr au bado. Nikanywa juisi na tahamaki nikasikia kunakimiwa swalah. Nifanye nini?
Jibu: Ni lazima kwako kuilipa siku hiyo na hakuna kinachokulazimu zaidi ya hivo. Ni lazima kwako kuhakikisha wakati mwingine.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah Aalush-Shaykh
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Min Fataawaas-Swiyaam, uk. 35
Imechapishwa: 01/04/2022
https://firqatunnajia.com/38-amekunywa-juisi-bila-kujua-kama-alfajiri-imekwishaingia/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)