Allaah amrehemu mja anayezungumza haki, akafuata mapokezi, akashikamana barabara na Sunnah, akafuata uongofu wa wema, akajiepusha na Ahl-ul-Bid´ah na akaacha kukaa nao na kuwazungumzisha kwa ajili ya kutaraji malipo kutoka kwa Allaah, kujikurubisha Kwake na kuifanya dini Yake kuwa na nguvu. Tawfiyq yetu iko kwa Allaah.
- Mhusika: Imaam Harb bin Ismaa´iyl al-Kirmaaniy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Kitaab-us-Sunnah, uk. 100
- Imechapishwa: 09/06/2022
Allaah amrehemu mja anayezungumza haki, akafuata mapokezi, akashikamana barabara na Sunnah, akafuata uongofu wa wema, akajiepusha na Ahl-ul-Bid´ah na akaacha kukaa nao na kuwazungumzisha kwa ajili ya kutaraji malipo kutoka kwa Allaah, kujikurubisha Kwake na kuifanya dini Yake kuwa na nguvu. Tawfiyq yetu iko kwa Allaah.
Mhusika: Imaam Harb bin Ismaa´iyl al-Kirmaaniy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Kitaab-us-Sunnah, uk. 100
Imechapishwa: 09/06/2022
https://firqatunnajia.com/35-zungumza-haki-wafuate-salaf-na-waepuke-ahl-ul-bidah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)