Swali 33: Je, kusengenya na kueneza uvumi kunamfunguza mfungaji mchana wa Ramadhaan?
Jibu: Kusengenya na kueneza uvumi havifunguzi. Lakini hata hivyo vinapunguza swawm. Allaah (Ta´ala) amesema:
يأيها الذينءامنوا كتب عليكم الصيام كما كتب على الذين من قبلكم لعلكم تتقون
“Enyi mlioamini! Mmefaradhishiwa kufunga kama ilivyofaradhishwa kwa waliokuwa kabla yenu ili mpate kumcha Allaah.”[1]
Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Yule asiyeacha maneno ya uongo, kuyatendea kazi na ujinga, basi Allaah hana haja kwa yeye kuacha chakula na kinywaji chake.”
[1] 02:183
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: 48 mas-alatu fiy Swiyaam, uk. 30
- Imechapishwa: 23/04/2021
Swali 33: Je, kusengenya na kueneza uvumi kunamfunguza mfungaji mchana wa Ramadhaan?
Jibu: Kusengenya na kueneza uvumi havifunguzi. Lakini hata hivyo vinapunguza swawm. Allaah (Ta´ala) amesema:
يأيها الذينءامنوا كتب عليكم الصيام كما كتب على الذين من قبلكم لعلكم تتقون
“Enyi mlioamini! Mmefaradhishiwa kufunga kama ilivyofaradhishwa kwa waliokuwa kabla yenu ili mpate kumcha Allaah.”[1]
Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Yule asiyeacha maneno ya uongo, kuyatendea kazi na ujinga, basi Allaah hana haja kwa yeye kuacha chakula na kinywaji chake.”
[1] 02:183
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: 48 mas-alatu fiy Swiyaam, uk. 30
Imechapishwa: 23/04/2021
https://firqatunnajia.com/33-vipi-swawm-ya-anayeeneza-umbea-na-kusengenya/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)