´Abdullaah bin ´Umar (Radhiya Allaahu ´anhumaa) amesimulia kuwa amemsikia Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akisema:
“Hakika Allaah haondoi elimu baada ya kuwapa nayo kwa kuinyakua moja kwa moja; bali huiondoa kwa kuwafisha wanazuoni pamoja na elimu yao. Hivyo hubakia watu wajinga wanaotoa fatwa kwa maono yao. Matokeo yake wakapotea na kuwapoteza wengine.”[1]
[1] al-Bukhaariy (7307) na Muslim (2673).
- Muhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: as-Swalaah fiyn-Ni´aal, uk. 36
- Imechapishwa: 23/06/2025
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket