´Abdullaah bin ´Umar (Radhiya Allaahu ´anhumaa) amesimulia kuwa amemsikia Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akisema:
“Hakika Allaah haondoi elimu baada ya kuwapa nayo kwa kuinyakua moja kwa moja; bali huiondoa kwa kuwafisha wanazuoni pamoja na elimu yao. Hivyo hubakia watu wajinga wanaotoa fatwa kwa maono yao. Matokeo yake wakapotea na kuwapoteza wengine.”[1]
[1] al-Bukhaariy (7307) na Muslim (2673).
- Muhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: as-Swalaah fiyn-Ni´aal, uk. 36
- Imechapishwa: 23/06/2025
´Abdullaah bin ´Umar (Radhiya Allaahu ´anhumaa) amesimulia kuwa amemsikia Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akisema:
“Hakika Allaah haondoi elimu baada ya kuwapa nayo kwa kuinyakua moja kwa moja; bali huiondoa kwa kuwafisha wanazuoni pamoja na elimu yao. Hivyo hubakia watu wajinga wanaotoa fatwa kwa maono yao. Matokeo yake wakapotea na kuwapoteza wengine.”[1]
[1] al-Bukhaariy (7307) na Muslim (2673).
Muhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: as-Swalaah fiyn-Ni´aal, uk. 36
Imechapishwa: 23/06/2025
https://firqatunnajia.com/32-matokeo-ya-kutoa-fatwa-kwa-maoni-binafsi/