33- ash-Sha´biy ameeleza kwamba amemsikia al-Mughiyrah bin Shu´bah akisema:
“Muusa alimuuliza Mola wake: “Ee Mola! Nikhabarishe nani ambaye ana manzilah ya juu zaidi Peponi?” Akasema: “Ni wale watu ambao karama zao Nimezipanda kwa mkono Wangu na nikaipigia muhuri; hakuna jicho imekwishaziona, sikio imekwishazisikia wala kupita moyoni mwa mtu.”[1]
Ameipokea Muslim.
[1] Muslim (312), at-Tirmidhiy (3198) na al-Bayhaqiy (690).
- Muhusika: Imaam Shams-ud-Diyn Muhammad bin Ahmad adh-Dhahabiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ithbaat-ul-Yad li-Laah Swifatan min Swifwaatih, uk. 28
- Imechapishwa: 02/07/2019
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)