28- Uharamu wa kualika matajiri peke yake
Haijuzu kuwaalika matajiri peke yake pasi na mafukara. Amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Chakula kiovu kabisa ni cha karamu ya ndoa ambacho wanaalikwa matajiri na wanazuiwa masikini. Yule ambaye hakuitikia wito basi amemuasi Allaah na Mtume Wake.”[1]
[1] Ameipokea Muslim (04/154), al-Bayhaqiy (07/262) kupitia Hadiyth ya Abu Hurayrah aliyepokea kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Inapatikana kwa al-Bukhaariy (09/201) aliyepokea kutoka kwa Swahabah. Inapata hukumu ya kupokelewa kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kama alivyobainisha al-Haafidhw wakati alipokuwa anaelezea maneno yake: “Wanaalikwa matajiri na wanazuiwa masikini”:
“Endapo mtu ataalika matajiri na masikini wote wawili basi chakula hichi hakitokuwa cha shari.”
Hadiyth nimeipokea katika “al-Irwaa´” na nimeitajia njia na shawahidi (1947).
- Mhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Aadaab-uz-Zafaaf, uk. 153
- Imechapishwa: 21/03/2018
28- Uharamu wa kualika matajiri peke yake
Haijuzu kuwaalika matajiri peke yake pasi na mafukara. Amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Chakula kiovu kabisa ni cha karamu ya ndoa ambacho wanaalikwa matajiri na wanazuiwa masikini. Yule ambaye hakuitikia wito basi amemuasi Allaah na Mtume Wake.”[1]
[1] Ameipokea Muslim (04/154), al-Bayhaqiy (07/262) kupitia Hadiyth ya Abu Hurayrah aliyepokea kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Inapatikana kwa al-Bukhaariy (09/201) aliyepokea kutoka kwa Swahabah. Inapata hukumu ya kupokelewa kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kama alivyobainisha al-Haafidhw wakati alipokuwa anaelezea maneno yake: “Wanaalikwa matajiri na wanazuiwa masikini”:
“Endapo mtu ataalika matajiri na masikini wote wawili basi chakula hichi hakitokuwa cha shari.”
Hadiyth nimeipokea katika “al-Irwaa´” na nimeitajia njia na shawahidi (1947).
Mhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Aadaab-uz-Zafaaf, uk. 153
Imechapishwa: 21/03/2018
https://firqatunnajia.com/30-uharamu-wa-kuwaalika-matajiri-peke-yake/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)