39- Jaabir bin Mutw´im amesema:
“Tulikuwa pamoja na Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) Juhfah ambapo akasema: “Nyinyi hamshuhudii ya kwamba hapana mungu wa kweli isipokuwa Allaah, hali ya kuwa yupekee hana mshirika, na kwamba mimi ni Mtume wa Allaah?” Tukasema: “Ndio.” Ndipo akasema: “Pateni bishara! Hakika hii Qur-aan ncha yake moja iko mikononi mwa Allaah na ncha yake nyingine iko mikononi mwenu. Shikamaneni nayo; hakika hamtopotea na wala hamtoangamia baada yake kamwe.”[1]
Ameipokea al-Bazzaar na at-Twabaraaniy katika ”al-Kabiyr” na ”as-Swaghiyr”.
[1] Swahiyh kupitia zengine.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/453)
- Imechapishwa: 26/04/2020
- Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
39- Jaabir bin Mutw´im amesema:
“Tulikuwa pamoja na Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) Juhfah ambapo akasema: “Nyinyi hamshuhudii ya kwamba hapana mungu wa kweli isipokuwa Allaah, hali ya kuwa yupekee hana mshirika, na kwamba mimi ni Mtume wa Allaah?” Tukasema: “Ndio.” Ndipo akasema: “Pateni bishara! Hakika hii Qur-aan ncha yake moja iko mikononi mwa Allaah na ncha yake nyingine iko mikononi mwenu. Shikamaneni nayo; hakika hamtopotea na wala hamtoangamia baada yake kamwe.”[1]
Ameipokea al-Bazzaar na at-Twabaraaniy katika ”al-Kabiyr” na ”as-Swaghiyr”.
[1] Swahiyh kupitia zengine.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/453)
Imechapishwa: 26/04/2020
Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/3-hadiyth-nyinyi-hamshuhudii-ya-kwamba-hapana/