Swali 29: Ni wajibu kwa mfungaji kukata swawm pale tu jua linapozama[1]?
Jibu: Sio wajibu. Imependekezwa kwa kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema pindi alipokataza kuunganisha swawm:
“Anayetaka kuendelea na swawm basi aendelee mpaka wakati wa daku.”[2]
[1] Kutoka “Fath-ur-Rabb al-Waduud” (1/250).
[2] ad-Daarimiy (1705).
- Muhusika: ´Allaamah Ahmad bin Yahyaa an-Najmiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaas-Swiyaam, uk. 44
- Imechapishwa: 12/06/2017
Swali 29: Ni wajibu kwa mfungaji kukata swawm pale tu jua linapozama[1]?
Jibu: Sio wajibu. Imependekezwa kwa kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema pindi alipokataza kuunganisha swawm:
“Anayetaka kuendelea na swawm basi aendelee mpaka wakati wa daku.”[2]
[1] Kutoka “Fath-ur-Rabb al-Waduud” (1/250).
[2] ad-Daarimiy (1705).
Muhusika: ´Allaamah Ahmad bin Yahyaa an-Najmiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaas-Swiyaam, uk. 44
Imechapishwa: 12/06/2017
https://firqatunnajia.com/29-ni-wajibu-kukata-swawm-pale-tu-jua-linapozama/