29- ´Abdur-Rahmaan bin Muhammad al-Mahbuuriy amenihadithia: Ahmad bin ´Abdillaah bin Nu´aym amenihadithia: Haatim amenihadithia: Salamah amenihadithia: ´Abdur-Razzaaq amenihadithia: Ma´mar amenihadithia, kutoka kwa Hammaam bin Munabbih, kutoka kwa Abuu Hurayrah (Radhiya Allaahu ´anh) aliyesimulia kuwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Kutatupwa Motoni na useme:
هَلْ مِن مَّزِيدٍ
“Hakuna zaidi?”[1]
mpaka Mola wa walimwengu aweke mguu Wake ndani ambapo utasema: “Tosha, tosha.”[2]
[1] 50:30
[2] al-Bukhaariy (4850), Muslim (2846) na Ibn Khuzaymah katika ”at-Tawhiyd”, uk. 97-98.
- Mhusika: Imaam Abu Ismaa´iyl ´Abdullaah bin Muhammad al-Answaariy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Arba´uun fiy Dalaa-il-it-Tawhiyd, uk. 59
- Imechapishwa: 04/02/2017
29- ´Abdur-Rahmaan bin Muhammad al-Mahbuuriy amenihadithia: Ahmad bin ´Abdillaah bin Nu´aym amenihadithia: Haatim amenihadithia: Salamah amenihadithia: ´Abdur-Razzaaq amenihadithia: Ma´mar amenihadithia, kutoka kwa Hammaam bin Munabbih, kutoka kwa Abuu Hurayrah (Radhiya Allaahu ´anh) aliyesimulia kuwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Kutatupwa Motoni na useme:
هَلْ مِن مَّزِيدٍ
“Hakuna zaidi?”[1]
mpaka Mola wa walimwengu aweke mguu Wake ndani ambapo utasema: “Tosha, tosha.”[2]
[1] 50:30
[2] al-Bukhaariy (4850), Muslim (2846) na Ibn Khuzaymah katika ”at-Tawhiyd”, uk. 97-98.
Mhusika: Imaam Abu Ismaa´iyl ´Abdullaah bin Muhammad al-Answaariy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Arba´uun fiy Dalaa-il-it-Tawhiyd, uk. 59
Imechapishwa: 04/02/2017
https://firqatunnajia.com/29-dalili-ya-kwamba-unyayo-wa-allaah-ndio-mguu-wake/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)