Swali 28: Je, inafaa kumswalia na kumtakia amani Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) pindi imamu anapotoa Khutbah na akamtaja[1]?
Jibu: Ni jambo limewekwa katika Shari´ah kumswalia Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) anapotajwa (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) katika Khutbah ya ijumaa, Khutbah ya ´iyd na vikao vya Dhikr. Amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Ameangukia pua yule ambaye nitatajwa mbele yake asiniswalie.”[2]
Swalah na amani ziwe juu yake.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (12/338).
[2] at-Tirmidhiy (3468) na Ahmad (7139).
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ahkaam Swalaat-il-Jumu´ah wal-Jamaa´ah, uk. 68
- Imechapishwa: 01/12/2021
Swali 28: Je, inafaa kumswalia na kumtakia amani Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) pindi imamu anapotoa Khutbah na akamtaja[1]?
Jibu: Ni jambo limewekwa katika Shari´ah kumswalia Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) anapotajwa (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) katika Khutbah ya ijumaa, Khutbah ya ´iyd na vikao vya Dhikr. Amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Ameangukia pua yule ambaye nitatajwa mbele yake asiniswalie.”[2]
Swalah na amani ziwe juu yake.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (12/338).
[2] at-Tirmidhiy (3468) na Ahmad (7139).
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ahkaam Swalaat-il-Jumu´ah wal-Jamaa´ah, uk. 68
Imechapishwa: 01/12/2021
https://firqatunnajia.com/28-kumswalia-mtume-katikati-ya-khutbah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)