Swali 27: Mwezi ulipasuka lini?
Jibu: Mwezi ulipasuka baada ya safari ya usiku na ya kupandishwa usiku. Wakati washirikina walipomuomba (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) awaonyeshe ishara akawaonyesha mwezi ukiwa umegawanyika vipande viwili. Kipande kimoja kikiwa juu ya mlima wa Abu Qubays na kipande kingine nyuma yao. Akasema: ”Shuhudieni! Ambapo wakasema: ”Uchawi wenye kuendelea!”[1]
[1] al-Bukhaariy (3868) na (4864) na Muslim (2800).
- Mhusika: ´Allaamah Haafidhw bin Ahmad al-Hakamiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Amaaliy fiys-Siyrah an-Nabawiyyah, uk. 100
- Imechapishwa: 23/09/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)