Abu Ja´far at-Twahaawiy (Rahimahu Allaah) amesema:
49 – Aliye na furaha ni yule anayefurahishwa na mipango ya Allaah, aliyekula khasara ni yule asiyefurahishwa na mipango ya Allaah.
MAELEZO
Hii ni maana ya Hadiyth aliyoipokea al-Bazzaar na wengineo kupitia kwa Abu Hurayrah, kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ambaye amesema:
”Mla khasara ni yule aliyekula khasara tumboni mwa mama yake, na aliye na furaha ni yule aliyefurahi tumboni mwa mama yake.”
Cheni yake ya wapokezi ni Swahiyh, kama nilivyobainisha katika ”ar-Rawdhw an-Nadhwiyr” (1098) na “Dhwilaal-ul-Jannah fiy Takhriyj-is-Sunnah” (188).
- Muhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-´Aqiydah at-Twahaawiyyah – Sharh wa Ta´liyq, uk. 41
- Imechapishwa: 24/09/2024
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)