Swali 27: Mtu mwenye kufunga swawm ya Sunnah na akamjamii mke wake kwa kusahau aendelee kufunga au inamlazimu kitu?
Jibu: Kitendo cha kusahau inapokuja katika jamii kiko mbali. Kwa sababu jimaa ni jambo la kushirikiana baina ya mwanaume na mwanamke. Mmoja katika wanandoa akisahau mwingine atamkumbusha. Jimaa inahitajia kufunga milango na mambo mengine yanayopingana na kusahau.
- Muhusika: ´Allaamah Ahmad bin Yahyaa an-Najmiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaas-Swiyaam, uk. 41-42
- Imechapishwa: 12/06/2017
Swali 27: Mtu mwenye kufunga swawm ya Sunnah na akamjamii mke wake kwa kusahau aendelee kufunga au inamlazimu kitu?
Jibu: Kitendo cha kusahau inapokuja katika jamii kiko mbali. Kwa sababu jimaa ni jambo la kushirikiana baina ya mwanaume na mwanamke. Mmoja katika wanandoa akisahau mwingine atamkumbusha. Jimaa inahitajia kufunga milango na mambo mengine yanayopingana na kusahau.
Muhusika: ´Allaamah Ahmad bin Yahyaa an-Najmiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaas-Swiyaam, uk. 41-42
Imechapishwa: 12/06/2017
https://firqatunnajia.com/27-anayefunga-swawm-ya-sunnah-na-akamjamii-mkewe-kwa-kusahau-aendelee-kufunga-au-inamlazimu-kitu/