4- Hadiyth ya Jaabir (Radhiya Allaahu ´anh) haikutaja ni wakati gani jambo hili lilitokea. Aidha mwanamke huyu alikuwa ni mzee sana asiyetaraji tena kuolewa (na hivyo anaruhusiwa kuonesha uso tofauti na wengine) au ilitokea kabla ya kuteremshwa Aayah yenye kuwajibisha kujifunika. Aayah hiyo iko katika Suurat-ul-Ahzaab ambayo imeteremshwa miaka tano au siba baada ya Hijrah na swalah ya Idi iliwekwa katika Shari´ah miaka miwili baada ya Hijrah.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Hijaab, uk. 33-34
- Imechapishwa: 26/03/2017
4- Hadiyth ya Jaabir (Radhiya Allaahu ´anh) haikutaja ni wakati gani jambo hili lilitokea. Aidha mwanamke huyu alikuwa ni mzee sana asiyetaraji tena kuolewa (na hivyo anaruhusiwa kuonesha uso tofauti na wengine) au ilitokea kabla ya kuteremshwa Aayah yenye kuwajibisha kujifunika. Aayah hiyo iko katika Suurat-ul-Ahzaab ambayo imeteremshwa miaka tano au siba baada ya Hijrah na swalah ya Idi iliwekwa katika Shari´ah miaka miwili baada ya Hijrah.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Hijaab, uk. 33-34
Imechapishwa: 26/03/2017
https://firqatunnajia.com/26-tafsiri-ya-hadiyth-ya-mwanamke-mwenye-mashavu-ya-kupauka/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)