Sabaiyyah. Nao ni Raafidhwah na waongo. Nao hawako mbali sana na mapote yaliyotajwa na wanaoenda kinyume na maimamu. Raafidhwah ni wenye athari mbaya zaidi katika Uislamu kuliko makafiri wanaoupiga vita.
Wako Raafihwah ambao wanasema kuwa ´Aliy yuko mawinguni na kwamba atafufuliwa kabla ya siku ya Qiyaamah. Yote haya ni uwongo na uzushi.
- Muhusika: Imaam Harb bin Ismaa´iyl al-Kirmaaniy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Kitaab-us-Sunnah, uk. 83-84
- Imechapishwa: 06/06/2022
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)