50 – Muhammad bin Ya´quub bin Yuusuf bin al-Akhram ametukhabarisha huko Neyshabur: Muhammad bin Nu´aym ametuhadithia… (ح) Muhammad bin ´Abdillaah bin Abiy Rajaa’ ametuhadithia: Muusa bin Haaruun ametuhadithia: Qutaybah ametuhadithia: al-Layth ametuhadithia, kutoka kwa Sa´iyd bin Abiy Sa´iyd bin Yasaar, ambaye amemsikia Abu Hurayrah akisimulia kwamba Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
”Hakika swadaqah hukua kwenye kiganja cha Mwingi wa huruma (´Azza wa Jall), mpaka inakuwa kubwa kuliko mlima, kama anavyolea mmoja wenu kitekli chake.”[1]
Hadiyth hii imethibiti kwa maafikiano.
[1] al-Bukhaariy (7430) na Muslim (702).
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Ishaaq bin Mandah (afk. 395)
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: ar-Radd ´alaal-Jahmiyyah, uk. 76-77
- Imechapishwa: 17/06/2026
- Taaliki: ´Allaamah ´Aliy bin Naaswir al-Faqiyhiy
50 – Muhammad bin Ya´quub bin Yuusuf bin al-Akhram ametukhabarisha huko Neyshabur: Muhammad bin Nu´aym ametuhadithia… (ح) Muhammad bin ´Abdillaah bin Abiy Rajaa’ ametuhadithia: Muusa bin Haaruun ametuhadithia: Qutaybah ametuhadithia: al-Layth ametuhadithia, kutoka kwa Sa´iyd bin Abiy Sa´iyd bin Yasaar, ambaye amemsikia Abu Hurayrah akisimulia kwamba Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
”Hakika swadaqah hukua kwenye kiganja cha Mwingi wa huruma (´Azza wa Jall), mpaka inakuwa kubwa kuliko mlima, kama anavyolea mmoja wenu kitekli chake.”[1]
Hadiyth hii imethibiti kwa maafikiano.
[1] al-Bukhaariy (7430) na Muslim (702).
Muhusika: Imaam Muhammad bin Ishaaq bin Mandah (afk. 395)
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: ar-Radd ´alaal-Jahmiyyah, uk. 76-77
Imechapishwa: 17/06/2026
Taaliki: ´Allaamah ´Aliy bin Naaswir al-Faqiyhiy
https://firqatunnajia.com/25-swadaqah-inakuwa-kwenye-kiganja-cha-mwingi-wa-rehema/