Swali 25: Ni ipi hukumu ya kutumia mafuta na penesilini kwenye kidonda? Vinaharibu swawm[1]?
Jibu: Mafuta na penesilini kwenye kidonda havidhuru kwa kuwa havifiki mwilini.
[1] Kutoka “Fath-ur-Rabb al-Waduud” (1/250).
- Muhusika: ´Allaamah Ahmad bin Yahyaa an-Najmiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaas-Swiyaam, uk. 40
- Imechapishwa: 12/06/2017
Swali 25: Ni ipi hukumu ya kutumia mafuta na penesilini kwenye kidonda? Vinaharibu swawm[1]?
Jibu: Mafuta na penesilini kwenye kidonda havidhuru kwa kuwa havifiki mwilini.
[1] Kutoka “Fath-ur-Rabb al-Waduud” (1/250).
Muhusika: ´Allaamah Ahmad bin Yahyaa an-Najmiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaas-Swiyaam, uk. 40
Imechapishwa: 12/06/2017
https://firqatunnajia.com/25-ni-ipi-hukumu-ya-kutumia-mafuta-na-penesilini-kwenye-kidonda/