Swali 24: Vipi anaoshwa mtu ambaye anakufa katika ajali na mwili wake unaharibika na pengine vikakatika baadhi ya viungo vyake? Tunamwomba Allaah usalama na afya[1].
Jibu: Ni lazima kumwosha kama wanavooshwa wengine, ikiwezekana kufanya hivo. Isipowezekana basi atafanyiwa Tayammum. Kwa sababu Tayammum inasimama mahali pa kuosha kwa maji wakati inaposhindikana kufanya hivo.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/123).
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 23
- Imechapishwa: 17/12/2021
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)