49 – Abu ´Amr, mtumwa wa Banuu Haashim aliyeachwa huru, ametukhabarisha: Abu Haatim ar-Raaziy ametuhadithia: Abul-Yamaan ametuhadithia: Shu´ayb ametuhadithia: Abuz-Zinaad ametuhadithia, kutoka kwa al-A´raj, kutoka kwa Abu Hurayrah, ambaye amesimulia kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Mkono wa wa Allaah umejaa. Haupungui kwa kutoa usiku na mchana. Mnaonaje yale aliyotoa tangu aumbe mbingu na ardhi pasi na kupungua chochote kilichoko katika mkono Wake? ´Arshi Yake iko juu ya maji na kwenye mkono Wake mwingine kuna mzani ambao ndiyo anashusha na kupandisha.”[1]
[1] al-Bukhaariy (4684), Muslim (993), Ahmad (2/242) na at-Tirmidhiy (3045).
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Ishaaq bin Mandah (afk. 395)
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: ar-Radd ´alaal-Jahmiyyah, uk. 76
- Imechapishwa: 16/06/2026
- Taaliki: ´Allaamah ´Aliy bin Naaswir al-Faqiyhiy
49 – Abu ´Amr, mtumwa wa Banuu Haashim aliyeachwa huru, ametukhabarisha: Abu Haatim ar-Raaziy ametuhadithia: Abul-Yamaan ametuhadithia: Shu´ayb ametuhadithia: Abuz-Zinaad ametuhadithia, kutoka kwa al-A´raj, kutoka kwa Abu Hurayrah, ambaye amesimulia kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Mkono wa wa Allaah umejaa. Haupungui kwa kutoa usiku na mchana. Mnaonaje yale aliyotoa tangu aumbe mbingu na ardhi pasi na kupungua chochote kilichoko katika mkono Wake? ´Arshi Yake iko juu ya maji na kwenye mkono Wake mwingine kuna mzani ambao ndiyo anashusha na kupandisha.”[1]
[1] al-Bukhaariy (4684), Muslim (993), Ahmad (2/242) na at-Tirmidhiy (3045).
Muhusika: Imaam Muhammad bin Ishaaq bin Mandah (afk. 395)
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: ar-Radd ´alaal-Jahmiyyah, uk. 76
Imechapishwa: 16/06/2026
Taaliki: ´Allaamah ´Aliy bin Naaswir al-Faqiyhiy
https://firqatunnajia.com/24-mkono-wa-allaah-umejaa/