115 – Zitazame nyota kwa uchache iwezekanavyo, isipokuwa kwa yale yatayokusaidia kujua nyakati za swalah. Jiepushe na yote yasiyokuwa hayo, kwani hakika yanaita katika uzandiki.
116 – Tahadhari na kutazama katika elimu ya falsafa na kukaa pamoja na watu wa falsafa.
117 – Lazimiana na masimulizi (الآثار) na watu wa masimulizi (أهل الآثار). Waulize wao, keti pamoja nao na chuma kutoka kwao.
118 – Tambua ya kuwa Allaah hajapatapo kuabudiwa kama kuwa na khofu juu Yake. Njia za khofu, huzuni, huruma na haya zinatokamana na Allaah (Tabaarak wa Ta´ala).
119 – Tahadhari kukaa pamoja na wanaoita katika shauku na mapenzi, wenye kukaa faragha na wanawake na mfumo wa madhehebu, hakika watu wote hawa wamo upotofuni.
120 – Tambua – Allaah akurehemu – ya kwamba Allaah (Tabaarak wa Ta´ala) amewaita viumbe wote katika kumuabudu Yeye na amewaneemesha Uislamu wale anaowataka kutokana na fadhilah Zake.
- Mhusika: Imaam Abu Muhammad al-Hasan bin Khalaf al-Barbahaariy (kfk. 329)
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh-us-Sunnah, uk. 110-111
- Imechapishwa: 23/12/2024
115 – Zitazame nyota kwa uchache iwezekanavyo, isipokuwa kwa yale yatayokusaidia kujua nyakati za swalah. Jiepushe na yote yasiyokuwa hayo, kwani hakika yanaita katika uzandiki.
116 – Tahadhari na kutazama katika elimu ya falsafa na kukaa pamoja na watu wa falsafa.
117 – Lazimiana na masimulizi (الآثار) na watu wa masimulizi (أهل الآثار). Waulize wao, keti pamoja nao na chuma kutoka kwao.
118 – Tambua ya kuwa Allaah hajapatapo kuabudiwa kama kuwa na khofu juu Yake. Njia za khofu, huzuni, huruma na haya zinatokamana na Allaah (Tabaarak wa Ta´ala).
119 – Tahadhari kukaa pamoja na wanaoita katika shauku na mapenzi, wenye kukaa faragha na wanawake na mfumo wa madhehebu, hakika watu wote hawa wamo upotofuni.
120 – Tambua – Allaah akurehemu – ya kwamba Allaah (Tabaarak wa Ta´ala) amewaita viumbe wote katika kumuabudu Yeye na amewaneemesha Uislamu wale anaowataka kutokana na fadhilah Zake.
Mhusika: Imaam Abu Muhammad al-Hasan bin Khalaf al-Barbahaariy (kfk. 329)
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh-us-Sunnah, uk. 110-111
Imechapishwa: 23/12/2024
https://firqatunnajia.com/23-unaotakiwa-na-usiotakiwa-kutangamana-nao/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)