Swali 25: Ni ipi hukumu ya mfungaji kufanya enema kwa sababu ya haja?
Jibu: Hukumu yake ni kwamba hakuna neno kufanya hivo iwapo mgonjwa atahitajia kufanya hivo kwa mujibu wa maoni sahihi zaidi ya wanachuoni. Hilo ndio chaguo la Shaykh-ul-Islaam Ibn Taymiyyah (Rahimahu Allaah) na wanachuoni wengi ambao wanaonelea kuwa kitendo hicho hakifanani na kula na kunywa.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdllaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: As-ilah Muhimmah tata´alaqah bisw-Swiyaam, uk. 29
- Imechapishwa: 08/05/2019
Swali 25: Ni ipi hukumu ya mfungaji kufanya enema kwa sababu ya haja?
Jibu: Hukumu yake ni kwamba hakuna neno kufanya hivo iwapo mgonjwa atahitajia kufanya hivo kwa mujibu wa maoni sahihi zaidi ya wanachuoni. Hilo ndio chaguo la Shaykh-ul-Islaam Ibn Taymiyyah (Rahimahu Allaah) na wanachuoni wengi ambao wanaonelea kuwa kitendo hicho hakifanani na kula na kunywa.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdllaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: As-ilah Muhimmah tata´alaqah bisw-Swiyaam, uk. 29
Imechapishwa: 08/05/2019
https://firqatunnajia.com/23-ni-ipi-hukumu-ya-mfungaji-kufanya-enema-kwa-sababu-ya-haja/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)